Daily Conversations in Swahili

 Daily Conversations in Swahili

Mambo                     What’s Up/ How are you?

Poa                            I'm good


Karibu sana            Very welcome

Asante                      Thank you


Jambo                      Greeting

Hujambo                 How are you?

Sijambo                    I am fine

 

Hamjambo              How are you?(plural)

Hatujambo              We are fine

 

Shikamo                  respectful greeting used by a younger person to someone older

Marahaba                (answer)

 

 

Mama: Habari za asubuhi?

Baba: Nzuri sana.

Mama: Unatarajia kwenda kazini saa ngapi?

Baba: Nitaondoka saa mbili kamili asubuhi. Je, watoto waliondoka

kwenda shuleni saa ngapi?

Mama: Waliondoka saa moja na robo asubuhi.

Baba: Je, utapika chakula gani leo jioni?

Mama: Nitapika ugali na mchuzi wa kamba.

Baba: Chakula kitakuwa tayari saa ngapi?

Mama: Inategemea, utarudi saa ngapi?

Baba: Nitarudi baada ya saa kumi na moja na robo jioni.

Mama: Sasa hivi ni saa mbili na dakika mbili. Basi fanya haraka

usije ukachelewa kazini.

Baba: Kwa heri mpenzi. Tutaonana jioni.

Comments

Popular posts from this blog

VERBS IN SWAHILI

Animal names in swahili

Civilities in Swahili